Ijumaa, 18 Machi 2016

RATIBA ZA IBADA.

  HEMA YA WASHINDI CHURCH.

       Kanisa la Hema ya Washindi Center linawakaribisha katika ibada zinazofanyika kanisani hapo kama ifuatavyo:-

             JUMANNE: Mazoezi ya kwaya (10:00 pm-12:00 pm).

             JUMATANO: Ibada ya mafundisho (10:00 pm-12:00 pm).

              ALHAMISI: Ibada ya wanawake (6:00 pm-7:00 pm)(Mchana).

              IJUMAA: Ibada ya maombi (10:00 pm-12:00 pm).

              JUMAMOSI: Mazoezi ya sifa na kuabudu (10:00 pm-12:00 pm).

              JUMAPILI: IBADA YA NENO LA MUNGU (4:00 am-7:30 pm).

         Kwa mawasiliano piga: 0783222757,0657787823 Au 0783035437.

   Email:Hemayawashindi@gmail.com. Au tufuate kwenye facebook na U like page yetu (Elim hema ya washindi center)

                           ''NJOO TUMSIFU MUNGU WETU KWA PAMOJA''.
                
                        WOTE MNAKARIBISHWA NA MUNGU AWABARIKI.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni